Audio

Pakua Afro-Bongo Reloaded inayowashirikisha Nandy na Rema

Pakua Afro-Bongo Reloaded inayowashirikisha Nandy na Rema

Ni Ijumaa nyingine ya kujiachia kwa mziki mzuri tu!🔥🔥🔥

Afro Bongo Reloaded 2023 Mix ni moto wa kuotea mbali. Humu wameshirikishwa mabingwa muziki Afrika wakiwemo Nandy wa Tanzania na Rema wa Nigeria.

Download #AfroBongoReloaded: https://mdundo.com/song/2489287

Subscribe ili kupata DJ mixes zaidi hapa: https://mdundo.ws/BekaBlog

DownloadOnMdundo #MdundoDJMixes #GetNewDJMixEveryday