Lyrics

Diamond Platnumz – Zuwena LYRICS

Diamond Platnumz – Zuwena LYRICS

Diamond Platnumz – Zuwena LYRICSDiamond Platnumz, whose real name is Nasibu Abdul Juma Issack, is a Tanzanian bongo flava recording artist, dancer, philanthropist, and businessman. He is also known by his stage name, Diamond Platnumz. His newest song is titled “Zuwena,” and it was just recently published.

Diamond Platnumz – Zuwena LYRICS

Mhhh!! Habari gani kaka naamini unanisikia
Mimi mzima wa Afya Mama Mungu anasaidia
Toka ulipotuacha Mahututi
Anazidiwa Bibi Presha Presha nae akatangulia
Bado twakuombea ulale salama Pema
Japo Moyoni nina dukuduku
Natamani kusemaaaa
Nisemeeeeee Zile mali husia ulizotuhusia tuligawa Salama
Zuwena Zote Tukampatia tusiwe ndugu lawama Ilaa!!
Zuena Kaka amebadilika Sanaa
Yaan shemlake Bi Zuuh wa leo sio yule wa jana

Natamani Ungemuona Zuwena!!!
Japo ungemuona Zuwena!!!
Kidogo tu ungemuona Zuwena!!!
Ungemuona Zuwena!!!
Ooohh Ungemuona Zuwena!!!
Aahh Zuwena Zuwena!!!
Oohh ungemuona Zuwena Zuwena!!! Mhhh!

Zuwena sasa kawa chotara
Sio tena Cheusi Mangala
Ngozi kaichubua awe Muzungu
Anavuta na Sigara Mara
Boko Mwananyamala
Anachezesha tu miamala Kutwa anaisugua
Kipepe Rungu Tena Peku bila ndala

Aaah Zuwena siku hizi anabandika Kope Zuwena!!!
Zuwena mipasuo kama yote Zuwena!!!
Ooh Zuwena lipa shika tuondoke Zuwena!!!
Aah Zuwena wanamuita cha wote Oooh oooh
Juzi kabebwa na majirani hata hajitambui Zuwena!!!
Yaan kalewa tafarani kautwika Mbwiiiii Zuwena!!!
Zuwena sio tena wa ibada na dini Sadaka chenji asaidie
Siku hizi kageuka pedeshee wa mjini
Kutunza bendi wamsifie
Na lile gari lako urithi wa babu la kulishia Ng’ombe
Siku hizi kama kwato kwenye vilabu linabebea pombe
Mama Dede kitandani hawez hata kutembea
Zuwena ameshindwa hata kuja kumuona panadol kumletea

Natamani Ungemuona Zuwena!!!
Japo ungemuona Zuwena!!!
Kidogo tu ungemuona Zuwena!!!
Ungemuona Zuwena!!!
Ooohh Ungemuona Zuwena!!!
Aahh Zuwena Zuwena!!!
Oohh ungemuona Zuwena Zuwena!!!

Siku hizi kataradadi
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Anajiita JLO
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Eti muzungu mweusi
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Anatunyoosha Baba
Anadanga anakula ndizi kwa maganda

Other Diamond Platinumz songs