Lyrics

Diamond Platnumz – Yatapita yana Mwisho Lyrics

Diamond Platnumz – Yatapita yana Mwisho Lyrics

Diamond Platnumz – Yatapita yana Mwisho LyricsDiamond Platnumz a.k.a Simba, a top-rated Tanzanian bongo Flava recording artist, dancer, philanthropist, businessman of Ha origin, and WCB Wasafi serial hit song creator, has released a new banger titled Yatapita Yana Mwisho, …and the lyrics to the song are as follows:

RELATED: Jay Melody – Nitasema Lyrics

Diamond Platnumz – Yatapita yana Mwisho Lyrics

Yatapitaa yanamwisho
Ipo siku tutayasahau watatuheshimu walotudharau
Kaza moyo nivumiliee
Amini tutayasahau watatuheshimu wanaotudharau wotee

Na ntakununulia (vyote)
Mawigi na simu (vyote)
Nitakuzawadia (vyote)
Pochi zenye thamani (vyote)
Na we wenda waringishia (vyote)
Utembee kwa uskani (vyote)
Na vioo ukiwafungia (vyote)

Aloiumba leo ni mungu na ndo ataiumba kesho
Amini fungu letu laja haliko mbalii
Alisema mtazaa kwa uchungu
Tutatafuta kwa mateso
Baby yote yakawaida husijalii
Mmh kidogo nachokuletea husinune pokea
Nipate moyo unifarijii
Navyote navyoongezea husichoke niombea
Mola atubariki zaidii
Wangu kakupa sura kakupa shepu
Nyuma chura mambo yetu
Mwana wa sanura
Mwenzako mimi i love you
Umeniteka medulla niko fyetu
Akili haina ndala iko peku
Umeniburura
Mwenzako mimi i love you
Ooh nivumilie

Yatapita yanamwisho
Ipo siku tutayasahau watatuheshimu walo tudharau
Kaza moyo nivumiliee
Amini tutayasahau watatuheshimu walotudharau wotee

Na ntakununulia (vyote)
Mikufu na simu (vyote)
Ntakuzawadia (vyote)
Pochi zenye thamani (vyote)
Nawe uende walingishia (vyote)
Utembee kwa uskani (vyote)
Na vioo ukiwafungia (vyote)
Ooh baby

Tazama nyota na mbalamwezi zatutazama
Liliwaka jua tukafanya subira
Mmh Na ninapokosa nambie mupenzi
Sio kuzozana
Nyumba haijengwi kwa vita hasira
Kwenye macho yako nikiyatazama
Naiona huruma yako mama
Changamoyo mana kuna muda unakata tamaa
Nanoa kisu hatuui mnyama
Na kodi nyundo zatuandama
Ridhiki zama kwa zama
Ya kwetu kesho ya kwao ni jana
Kidogo nachokuletea husinune pokea
Nipate moyo unifarijii
Navyote naviongeze husichoke niombea
Mola atubariki zaidi
Yatapita kipenzi changu

Yatapita yanamwisho
Ipo siku tutayasahau watatuheshimu walo tudharau
Kaza moyo nivumiliee
Amini tutayasahau watatuheshimu walotudharau wotee

Nantakununulia (vyote)
Mawigi na simu (vyote)
Nitakuzawadia (vyote)
Pochi zenye thamani (vyote)
Na we wenda waringishia (vyote)
Utembee kwa uskani (vyote)
Na vioo ukiwafungia (vyote)
Wangu kakupa sura kakupa shepu
Nyuma chura mambo yetu
Mwana wa sanura
Mwenzako mimi i love you

DOWNLOAD “Diamond Platnumz – Yatapita yana Mwisho” HERE