Lyrics

Jay Melody – Nitasema Lyrics

Jay Melody – Nitasema Lyrics

Jay Melody – Nitasema Lyrics –Jay Melody, a Tanzanian lad who was born and nurtured in the slums of Tandale Kwa Mtogole and who has the spirit of street hustling in him, has released a new song with the title Nitasema.

RELATED: Billnass Ft Jay Melody – Puuh LYRICS

Hmmm hmm, oh na na na
Si unitoke hata mara moja
Akilini mwangu, ohh mara moja
Ni nayo pitia ni kama umeniroga
Haya mapenzi yamenipa gonjwa

Japo sijawahi kuambia
Jinsi ninavyo kuota
Nakuzimia moyo umeuokota
Hii dunia nimempenda mmoja
Hizi hisia nitakwambia how I feel

Para ra ra raaah, how I feel
Para ra ra raah, nitasema me
Para ra ra raaah, how I feel
Para ra ra raah, nitasema me

Ooh, na vitu vyako vinachanganya
Ooh, unigusapo kwisha mwenzio
Ooh, you are magnet-oh unanivuta hapo
Utanitoa roho jamani

Unanikosha unaniwasha
Unalia paah, moyo wangu
Unanikosha unaniwasha
Unalia paah mmh

Japo sijawahi kuambia jinsi ninavyo kuota
Nakuzimia moyo umeuokota
Hii dunia nimempenda mmoja
Hizi hisia nitakwambi how I feel

Para ra ra raaah, how I feel
Para ra ra raah, nitasema me
Para ra ra raaah, how I feel
Para ra ra raah, nitasema me

Unanikosha unaniwasha
Unalia paah, moyo wangu
Unanikosha unaniwasha
Unalia paah mmh

Watch “Jay Melody – Nitasema Lyrics” Below;

DOWNLOAD AUDIO