Alikiba’s latest release, “Mahaba,” brings a fresh yet relatable take on love, heartbreak, and resilience. His lyrics take listeners on an emotional journey, capturing the ups and downs of romantic relationships. If you’re a fan of Alikiba’s soulful sound, these lyrics will resonate deeply with you.
Read the Lyrics Below:
Chorus: Siku hizi hakuna mahaba
Yeah, mahaba
Mapenzi ya mkataba
Mpaka kufa, yamekwisha
Ni neema ukiwa unahema
Mapenzi yanachosha, yanafuja raha
Nafsi yangu inasema
Bora nimpende tu alionizaa
Verse 1:
Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinikosha, no!
Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu ile
Yakwamba ulinikosha, no!
Chorus Repeat:
Siku hizi hakuna mahaba
Yeah, mahaba
Mapenzi ya mkataba
Mpaka kufa, yamekwisha
Ni neema ukiwa unahema
Mapenzi yanachosha, yanafuja raha
Nafsi yangu inasema
Bora nimpende tu alionizaa
Verse 2:
Mwenzako mi’ nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka, yeah
Mi’ nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, nimefufuka, yeah
Bridge:
S’kiza kwanza we dada
We dada
Mi’ sio mgeni alishanikaba
Mapenzi yalinikausha
Natamani kuwa single
Ila nna-upwilu unakaba koo
Mabinti wenye vifundo
Hao ndio mi’ wananitoa roho
Na siri juu ya jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi’ mbovu sana wa jambo lile
Na ufundi wa kutosha, ooh
Chorus Repeat:
Mwenzako mi’ nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka, yeah
Mi’ nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, nimefufuka, yeah
Read Also: Alikiba – Dushelele Lyrics
“Mahaba” is more than just a song—it’s a message of perseverance, growth, and overcoming the emotional toll that love can bring. Alikiba’s lyrics remind us that while love can be painful, it’s also something worth experiencing. Whether you’re healing from a broken heart or enjoying the thrill of a new love, these lyrics speak to the heart of the human experience.
Leave a Comment