Entertainment

Alikiba atangaza kuachia EP yake “STARTER” ikiwa na ngoma 7

Alikiba atangaza kuachia EP yake “STARTER” ikiwa na ngoma 7

Alikiba atangaza kuachia EP yake “STARTER” ikiwa na ngoma 7 -Mfalme wa Bongo Fleva @officialalikiba anatarajia kuachia EP yake ya kwanza mnamo September 14,2024

.

EP hiyo ameipa jina la “STARTER” na itakuwa na jumla ya nyimbo Saba (7) huku wasanii @marioo_tz @officialnandy na @realjaymelody wakiwa wameshirikishwa kwenye EP hiyo

.

Tayari unaweza ku Pre Order EP hiyo kupitia mtandao wa Spotify.

Leave a Comment