Lyrics

Joel Lwaga – Bila Bila Lyrics

Joel Lwaga - Bila Bila Lyrics

Joel Lwaga, one of Tanzania’s most talented gospel artists, has released the official lyrics for his latest song Bila Bila. This inspiring gospel track carries a deep message of faith, acknowledging that without God, we are nothing.

Fans can now sing along while listening to the song by following the lyrics arranged below. If you haven’t downloaded the song yet, grab it here: Download Bila Bila by Joel Lwaga.

Joel Lwaga – Bila Bila Lyrics

Nikitazama nilikotoka
Hapa nilipo ninapokwenda
……ninagunduwa….

Ingekuwa ni nguvu zangu
Ningeshachoka nisingeweza
Sio kweli kwamba tu ku-hustle
Na kupambana ndio vimenitoa

Juhudi hazizidi kudra
Siwezi sema babu hakujituma
Niliitwa ndugu lawama
Mfano wa walio kwama
Mtu asiye na maana
Wakuchekwa kudharauliwa

Ila Mungu ana nguvu bwana
Leo nikipita wanaitana
Sa ngoja nami niwaite
Niwape siri ukweli ni kwamba…

Chorus

Bila Mungu mimi ni bila bila
Hamna kitu yaani zero bila
Bila Mungu mimi ni bila bila
Sina ujanja yaani zero bila
Bila Mungu mimi ni bila bila
Hamna kitu yaani yaani zero bila

Verse 2

Yaani kama meli isiyo na nahodha
Kama bunge lisilo na hoja
Me ni debe tupu bila ya Mola

Msidanganyike njee mnavyoniona
Sina mzizi wala Mlozi
Nina mtetezi tena yu hai
Yeye ndo siri ya me kunawiri
Bila ye mi chalii na sifurukutiii

Niliitwaa ndugu lawama
Mfano wa waliokwama
Mtu asie na maana wakuchekwa wakudharauliwa

Ila Mungu ana ma nguvu bwana Leo
Sa ngoja na mi niwaite niwape siri kweli ni kwamba…

Chorus

Bila Mungu mimi ni bila bila
Hamna kitu yaani zero bila
Bila Mungu mimi ni bila bila
Sina ujanja yaani zero bila

………………………………………………………………

Instrumental…

THE MIX KILLER

Joel Lwaga continues to inspire gospel fans with his heartfelt lyrics and powerful message. Bila Bila is a song of testimony, reminding us that without God, we are nothing. Sing along and let the message resonate in your heart!

Leave a Comment