Tanzanian songstress Zuchu has officially dropped the lyrics for her latest hit, Makonzi. The track, which has been gaining massive traction, showcases Zuchu’s signature blend of powerful vocals and relatable storytelling.
Fans can now sing along to Makonzi while enjoying its vibrant beats. Below, we present the full lyrics to the song, structured in a way that makes it easy to follow while listening.
Makonzi Lyrics – Zuchu
[Intro]
LG ih
LG ah, ah ah
Mr LG
[Verse 1]
Ndo kakwambia ataniacha
Haha hehe unachekesha sana
Hizo ni ndoto za alinacha
Haha hehe anakudanganya
Hata umpe nini
Hunin’goi Unajisumbua mwaya
Huyo bila mimi, hatoboi
Nimemshika pabaya
[Pre-Chorus]
We chezewa ukimaliza kwenda
Hatuachani kisa ujinga
We chezewa ukimaliza kwenda
Hatuachani kisa ujinga
Na nikikukuta nae
[Chorus]
Patachimbika
Nitakutia makwenzi
Nitakutikisa
Patachimbika
Nitakutia makwenzi
Nitakutikisa
[Verse 2]
Kwanza unitambie umenizidi nini
Kubattle na mie
Uje na wenzako tisini
Uliza uambiwe
Mimi mtoto wa nani (Kapaa)
Ukijifanya chawa
Mi mwenzako kunguni
Huna nini?
Huna jipya nenda kwa mwampopo
Kikisafishwa labda ndo upate soko
Huna nini?
Huna jipya nenda kwa mwampopo
Kikisafishwa labda ndo upate soko
[Pre-Chorus]
We chezewa ukimaliza kwenda
Hatuachani kisa ujinga
We chezewa ukimaliza kwenda
Hatuachani kisa ujinga
Na nikikukuta nae
[Chorus]
Patachimbika
Nitakutia makwenzi
Nitakutikisa
Patachimbika
Nitakutia makwenzi
Nitakutikisa
Listen & Download Makonzi by Zuchu
You can stream Makonzi on Apple Music or download the song here.
Stay tuned for more music updates and lyrics on Beka Boy!
Leave a Comment