Lyrics

Yammi ft Mbosso – Nitadumu Nae Lyrics

Yammi ft Mbosso – Nitadumu Nae Lyrics

Yammi ft Mbosso – Nitadumu Nae Lyrics –Yammi, a gifted Tanzanian singer-songwriter, recording artist, and songwriter, recently released her newest song, “Nitadumu Nae,” which features Mbosso.

Yammi ft Mbosso – Nitadumu Nae Lyrics

VERSE 1

(Yammi)

Ka kasoma veta, ye ni fundi wa mambo

Atwanga pepeta kwa vya juu viwango

(Mbosso)

Raha naserereka mahaba hayaishi bando

Chumbani heka heka vita ya unyago na jando

(Yammi)

Oooh yeye Ndo amenilemaza kulala kwake kifuani,

Kutwa kunijazajaza mi kajol yeye sharukhan

(Mbosso)

Anipa mpaka nasaza sebuleni na chumbani

Raha zimenipumbaza mie hoi taaabani

BRIDGE (Yammi & Mbosso)

Magharibi natafuta sababu, bibi namtafuta babu

Aniita yaa Qalbi majina ya kiarabu

Twawachoma mahasidi kwa vinyimbo vya taarabu

CHORUS

Nitadumu nae kwa nguvu za manani

Jaribuni Baadae kwa sasa hapatikani

Nitadumu nae kwa nguvu za manani

Jaribuni Baadae kwa sasa hapatikani

(Instrumental Playing)

Oooh oooooh lalala laalala aaah aaah ah

VERSE 2

(Yammi)

So dawa za china si mizizi ya Kongo

Nampa mchai chai na supu ya kamongo

(Mbosso)

Fullstamina anibeba kwa mugongo “Mugongo”

Mambo ya kwenye mtima si kupendana kwa hongo “Kwa hongo”

(Yammi)

Oooh yeye Ndo amenilemaza kulala kwake kifuani,

Kutwa kunijazajaza mi kajol yeye sharukhan

(Mbosso)

Anipa mpaka nasaza sebuleni na chumbani

Raha zimenipumbaza mie hoi taaabani

BRIDGE (Yammi & Mbosso)

Magharibi natafuta sababu, bibi namtafuta babu

Aniita yaa Qalbi majina ya kiarabu

Twawachoma mahasidi kwa vinyimbo vya taarabu

CHORUS

Nitadumu nae kwa nguvu za manani “Nguvu za mananiii nguvu”

Jaribuni Baadae kwa sasa hapatikani “Nimemuweka ndani”

Nitadumu nae kwa nguvu za manani “Mahodari wa kutabiri”

Jaribuni Baadae kwa sasa hapatikani “Hatuachini katu roho zimeungana na miili”

(Instrumental Playing)

OUTRO

Anatembea na roho yangu, anatembea na mwili wangu

Anatembea na pumzi zangu Mimi mimi mimi.

Leave a Comment