Lyrics

Nadia Mukami ft Bruce Melodie – Kipepeo Lyrics

Nadia Mukami ft Bruce Melodie – Kipepeo Lyrics

Nadia Mukami ft Bruce Melodie – Kipepeo Lyrics – Kipepeo –Nadia Mukami, a female award-winning artist from Kenya who is also a singer and songwriter, releases a new song titled Kipepeo, featuring Bruce Melodie.

Nadia Mukami ft Bruce Melodie – Kipepeo Lyrics

beat(Alexis on the beat)Nadia ….Bruce melody .

ndo nimefika nyumbani

Kila mtu ana tabasamu

kuna furushi la sahani na vyakula vingi vitamu

mama ake kaniambia eti mwanae anaoa ,

dada ake kasisitiza na si ww nadi anaoa

tulivyopendana hatukuwah zozana

mapenzi kwa sana na Leo wanaoana

CHORUS ) .

niliweka ahadi ntamzalia wa kwanza kaiii

wapili zuwenaaa na watatu mariaaaa

nilishamuwekea ahadi ntamzalia wanaa

wa Kwanzaa kaiii wapili zuwena na watatu mariaa

kipepeo pepea mwambie asioe mwengne tena

mwambie mi ndo nampenda x4 .

Bruce melody)

subiri Bado nakupenda ila naona na Mimi unanipenda

na sikutarajia kukuvunja moyo bby nisamehe

ila si unajua masaibu yangu mama hutowezana

na kukosa kwangu mama inauma sana kukuacha weee

na Sina budi beibi turususanya datemera

sijinaremere bugusiginyuma bby I just wanna ………

ni kweli tulipendana hatukuwahi zozana mapenzi kwa sana

na Leo naowana ila yote mipango ya Mungu nakuombea mema

kubali safari ya mapenzi boo imefika mwshoo

(repeat chorus)

Leave a Comment