MUSIC AUDIO

Lyrics selembosso ft chley

Lyrics selembosso ft chley

Lyrics selembosso ft chley –Mbosso ni mwanamuziki maarufu kutoka Tanzania anayefanya muziki wa Bongo Flava. Nyimbo zake zinajulikana kwa ujumbe wa mapenzi na maisha ya kila siku. Baadhi ya nyimbo zake maarufu ni kama “Hodari,” “Tamu,” na “Nadekezwa.”

RELATED: Mbosso ft Chley – Sele

Nyimbo ya “Sele” ni moja ya nyimbo zake ambazo zimepata umaarufu. Kama unavyotaka kujua zaidi kuhusu wimbo huu au nyimbo nyingine za Mbosso, unaweza kuniambia ili niweze kukusaidia zaidi.

intro

Eh eeeeeeh

Eh eeeeeeh

Eeeeh eeeeh

Eh eeeeeh

Eh eeeeh

Eh yeah yeah

Se Leee selemaniiiii

Sele lele lele selemani

hook

Alile lile lale

Alile lile lale

Alile lila lale

Aah sele

Alile lile lale

Alile lile lale

Alile lila lale

Aah sele

verse

Mbona kama una lana sele, sele

Halafu bado ni kijana sele, sele

Ukilewa unatukana sele, sele

Unatafuta lawama sele, sele

Mbona kama una laana sele (aah sele)

Halafu bado ni kijana sele (ooh sele)

Ukilewa unatukana sele (aah sele)

Unatafuta lawama sele (ooh sele)

pre-chorus

Milungi mishisha mibangi selemani

Hili uji kulipa unadangia tu mezani

Milungi mishisha mibangi selemani

Kujipostisha kama wee boss yani

chorus

We selemani we sele sele sele

We selemani we sele sele sele

We selemani we sele sele sele

Eh selemani eeh sele sele sele

We selemani we sele sele sele

Eh selemani eeh sele sel sele

verse

Hivi umefanya nini jana?

Selemani watu kibao

Umemkwadia demu wa mwana

Selemani si mwanao

Bia za offa zinakudanganya

Selemani na mitandao

Tunajipanga kujikusanya selemani

Tukuwashe mabao

verse

Ambashabalalu ethani yoh

Sambe sebelona sambe yoh

Sambe sebelona kemanja koh

Kanyi papiliye lemanyi toro

Ambashabalalu emali yoh

Sambe sebelona sambe yoh

verse

Aih o andega lipa na emali sipapuna baga

Apa nae party sikakikapataga tuma waah

Situation na pa party bema party bema

Aih o endega lipa na emali sipapuna baga

Apa nae party sikikapataga tuma waah

Situation na pa party bema party bema lisala

pre-chorus

Milungi mishisha mibangi selemani

Hili uji kulipa unadangia tu mezani

Milungi mishisha mibangi selemani

Kujipostisha kama wee boss yani

chorus

We selemani we sele sele sele

We selemani we sele sele sele

We selemani we sele sele sele

Eh selemani eeh sele sele sele

verse

Mbona kama una laana sele (aah sele)

Halafu bado ni kijana sele (ooh sele)

Ukilewa unatukana sele (aah sele)

Unatafuta lawama sele (ooh sele)

chorus

We selemani we sele sele sele

We selemani we sele sele sele

We selemani we sele sele sele

Eh selemani eeh sele sele sele

outro

Selee selemaniii

Sele lele lele selemaniii

Leave a Comment