Pakua Fan Fave Bongo 2023 Mix iliyotengezwa na RJ The DJ ndani ya Mdundo
Tunamjua Rommy Jons almaarufu Rj The Dj kwa umahiri wake haswa kama Dj mashuhuri!πΆπΆ
Basi pata fursa ya kupakua mixes zake za Kipekee ndani ya Mdundo. Hivo usikose kuweka mix hii inayowaleta pamoja wasanii mahiri kutoka Afrika Masahariki kwenye playlist yako.
Ipakue hapa #FanFavebongo2023Mix: https://mdundo.com/song/2501484
Subscribe ili kupata DJ mixes zaidi hapa: https://mdundo.ws/BekaBlog