Audio

Januari 2023: Nyimbo 10 Bora Zilizopakuliwa Mdundo

Januari 2023: Nyimbo 10 Bora Zilizopakuliwa Mdundo -Sasa umeshafahamu ya kuwa Mdundo ni watoaji wa huduma ya muziki, ambayo inarahisisha upatikanaji wa muziki barani Afrika. Zifuatazo ni Nyimbo Kumi Bora zilizopakuliwa zaidi Mdundo
kwa mwezi Januari 2023:

  1. “Rush” ya Ayra Starr
  2. “Calm Down” ya Rema
  3. “Poko” ya Kizz Daniel
  4. “Remember Me” ya Lucky Dube
  5. “Bega Bega” ya Pallaso
  6. “How Are You My Friend” ya Johnny Drille
  7. “Puuh” by Billnass ft Jay Melody
  8. “Zambo” ya Mr Dutch ft. Luddy Dave
  9. “Soso” ya Omah Lay
  10. “Won Da Mo” ya Mavin All Stars

Nyimbo hizi zipo katika vipengele tofauti tofauti kuanizia pop, hip hop, na naija na tunaimani zinakufanya uimbe na kucheza wakati ukizisikiliza. Iwe ni shabiki wa nyimbo za kukubamba, za kukugusa hisia, au midundo mbalimbali, kuna kila kitu kwa kila mmoja wetu kwenye orodha hii. Kwahiyo, unasubiri nini kuweka nyimbo hizi kali kwenye playlist yako leo?

Kwa kumalizia, nyimbo tajwa hapo juu, ni mahali sahihi pa kuanzia, ni matumaini yetu zitakuhamasisha kuweza kutambua nyimbo mpya na kukuza upana wa mashabiki. Kabla hatujaondoka, tungependa kukumbusha kwamba huwa tunaziunda kutoka nyimbo kuja kuwa Mix kali za Dj. Unaweza jaribu moja hapo chini – Exclusive mix ya wiki kutoka inayomshirikisha Diamond Platnumz.

Pakua hapa: https://l.linklyhq.com/l/1fvk4